Wilaya ya Mandera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Mandera
Mahali paWilaya ya Mandera
Mahali paWilaya ya Mandera
Mahali pa Wilaya ya Mandera katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Mandera
Eneo
 - Jumla 25,797.7 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 1,025,756

Wilaya ya Mandera ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Kaskazini-Mashariki wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Mandera.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Mandera.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kaskazini-Mashariki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mandera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.