Wilaya ya Samburu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Samburu
Mahali paWilaya ya Samburu
Mahali paWilaya ya Samburu
Mahali pa Wilaya ya Samburu katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Maralal
Eneo
 - Jumla 20,182.5 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 223,947

Wilaya ya Samburu ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Maralal.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Samburu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Bonde la Ufa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Samburu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.