Wilaya ya Meru Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Meru Kusini
Mahali paWilaya ya Meru Kusini
Mahali paWilaya ya Meru Kusini
Mahali pa Wilaya ya Meru Kusini katika Kenya
Nchi Kenya
Mkoa Mashariki
Mji mkuu Chuka
Eneo
 - Jumla 1,093 km²
Idadi ya wakazi (1999 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 205,451

Wilaya ya Meru Kusini ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Mashariki wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Chuka.

Kwa sasa imekuwa sehemu ya kaunti ya Tharaka-Nithi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mashariki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Meru Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.