Sirili wa Yerusalemu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Mtakatifu Sirili wa Yerusalemu (kwa Kigiriki Κύριλλος Α΄ Ἱεροσολύμων) aliishi miaka 315386.

Ametambuliwa kuwa mtakatifu na mwalimu wa Kanisa.

Sikukuu yake ni tarehe 18 Machi.

[hariri] Maisha

Sirili alizaliwa katika familia ya Kikristo mwaka 315.

Aliteuliwa kuwa Askofu wa Yerusalemu nchini Israeli mwaka 348.

Alihusika hasa na mabishano na Ario juu ya umungu wa Yesu, na kwa sababu hiyo zaidi ya mara moja alifukuzwa nchini mwake.

Moyo wake wa kichungaji unaonekana hasa katika kitabu chake Catecheses, ambamo anawaeleza watu mafundisho ya kweli ya Ukristo, Maandiko Matakatifu, na mapokeo ya Kanisa.

Alikufa mwaka 386.


[hariri] Marejeo

  • "Lives of the Saints, For Every Day of the Year" edited by Rev. Hugo Hoever, S.O.Cist., Ph.D., New York: Catholic Book Publishing Co., 1955
  • Omer Englebert, "Lives of the Saints" New York: Barnes & Noble Books, 1994, ISBN 1-5661-9516-0

[hariri] Viungo vya nje

Christian cross.svg Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sirili wa Yerusalemu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine