Biblia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Biblia mojawapo iliyochapwa na Gutenberg.

Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa yaUkristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία biblia ina maana ya "vitabu" ikiwa ni uwingi wa βιβλος biblos. Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.

Tunaweza kutofautisha

[hariri] Viungo vya Nje

Biblia kwa lugha ya Kiswahili (Union Version)


Disambig.svg
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudia.

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Lugha nyingine