Kitabu cha Nahumu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitabu cha Nahum (kwa Kiebrania נחום) ni kimojawapo kati ya vitabu 12 vya gombo la Manabii wadogo katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) na kwa hiyo pia katika Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo. Kimo katika .

Yaliyomo

[hariri] Muda

Kitarehe kinashika nafasi kati ya kile cha Mika nakile cha Habakuki.

[hariri] Mada

Kinashangilia ujio wa maangamizi ya dola la Waashuru na ya makao yao makuu, Ninawi (612 a.C.) kwa ufasaha wa kishairi. Adui wa taifa na wa Mungu hatimaye ataadhibiwa.

[hariri] Mtunzi

Mtunzi anadhaniwa kuwa nabii wa Yerusalemu wakati wa mfalme Yosia wa Yuda.

[hariri] Ufafanuzi

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

[hariri] Viungo vya Nje

Kitabu cha Nahumu katika tafsiri ya Kiswahili (Union Version)

Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo Kutoka Walawi Hesabu Kumbukumbu Yoshua Waamuzi Ruthu Samueli I Samueli II Wafalme I Wafalme II Mambo ya Nyakati I Mambo ya Nyakati II Ezra Nehemia TobitiDK YudithiDK Esta Wamakabayo IDK Wamakabayo IIDK Yobu Zaburi Methali Mhubiri Hekima DK SiraDK Wimbo Bora Isaya Yeremia Maombolezo BarukuDK Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki - Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.