Kitabu cha Obadia
Kitabu cha Obadia ni kifupi kuliko vyote vya Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania), na vya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo.
Ni cha nne kati ya vitabu 12 vya Manabii Wadogo.
Ni ukurasa mmoja tu wenye aya 21 ulioandikwa na nabii Obadia katika karne VI K.K. dhidi ya Waedomu waliofurahia uhamisho wa ndugu zao Wayahudi waliopelekwa Babuloni mwanzoni mwa karne hiyo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
[hariri] Viungo vya Nje
Kitabu cha Obadia katika tafsiri ya Kiswahili (Union Version)
Mwanzo Kutoka Walawi Hesabu Kumbukumbu Yoshua Waamuzi Ruthu Samueli I Samueli II Wafalme I Wafalme II Mambo ya Nyakati I Mambo ya Nyakati II Ezra Nehemia TobitiDK YudithiDK Esta Wamakabayo IDK Wamakabayo IIDK Yobu Zaburi Methali Mhubiri Hekima DK SiraDK Wimbo Bora Isaya Yeremia Maombolezo BarukuDK Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki - Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.