Efrem wa Syria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Efrem Mshamu)
Rukia: urambazaji, tafuta
Picha takatifu ya Mt. Ephrem.
Picha takatifu ya Mt. Efrem iliyochorwa huko Meryemana Kilesesi, Diyarbakir, Uturuki.
Kanisa la Mt. Yakobo wa Nisibi, ambapo Efrem alitoa huduma.

Efrem wa Siria (kwa Kiaramu: ܐܦܪܝܡ ܣܘܪܝܝܐ, Aphrêm Sûryāyâ; kwa Kiarabu أفرام السرياني; kwa Kigiriki: Ἐφραίμ ὁ Σῦρος, Ephraim Syros; kwa Kilatini: Ephraem Syrus) (Nisibi, leo nchini Uturuki, 306 hivi - Edesa, Uturuki, 9 Juni 373), alikuwa mmonaki na shemasi maarufu hasa kwa tenzi zake nyingi kwa lugha ya Kiaramu ambazo zinatumika hadi leo katika liturujia na kutokeza imani kwa namna bora.

Kisha kufa akaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu na babu wa Kanisa.

Papa Benedikto XV tarehe 5 Oktoba 1920 alimuongezea sifa ya mwalimu wa Kanisa.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Juni.

Yaliyomo

Maisha [hariri]

Efrem alizaliwa mwaka 306 hivi huko Nisibi, leo Nusaybin (Uturuki kusini mashariki, mipakani kwa Siria).

Kwa muda mrefu alifanya kazi ya ushemasi akihubiri na kufundisha teolojia na maisha ya Kiroho kwa wamonaki na walei wa huko hadi mwaka 363, ambapo Wakristo walifukuzwa kutoka mji huo, naye pia akahamia mji wa Edesa alikofariki tarehe 9 Juni 373.

Alianzisha umonaki nje ya Dola la Roma, alitetea imani sahihi dhidi ya uzushi wa mazingira yake (Uorigene, Uario na Gnosis) na kufanya umisionari kati ya wasio Wakristo.

Ni kati ya watu waliotunga mashairi mengi zaidi katika historia ya fasihi. Inakadiriwa aliandika mistari milioni tatu kwa heshima ya Bikira Maria tu katika miaka 360-370. Ni kati ya waenezaji wakuu wa heshima hiyo. Kwa ubora wa mashairi yake kuhusu imani kwa jumla ameitwa “kinubi cha Roho Mtakatifu”.

Maandishi yake yanatokeza kuliko yote imani ya Ukristo kadiri ya mapokeo ya Kisemiti, yaliyo jirani zaidi na asili yake ya Kiyahudi kuliko yale ya Kigiriki na ya Kilatini yaliyotokea katika Dola la Roma.

Sala yake [hariri]

Mwokozi wetu, msalaba wako ulikomesha uhai wa mwili. Utujalie tusulubishe kiroho nafsi yetu. Ufufuko wako, Yesu, ukuze utu wa kiroho ndani mwetu… Umbile duni la mwili wetu linatuelekeza kufa. Mimina juu yetu upendo wako wa Kimungu, ufute moyoni mwetu matokeo ya sisi kuelekea kifo.

Maandishi [hariri]

a) Mfululizo « Sources Chrétiennes » (kwa Kifaransa)

  • ÉPHREM DE NISIBE, Commentaire de l’évangile concordant ou Diatessaron, introduction, traduction et notes par L. Leloir, Cerf, Paris 1966 (Sources Chrétiennes 121).
  • ÉPHREM DE NISIBE, Hymnes sur le Paradis, traduction par R. Lavenant, introduction et notes par F. Graffin, Cerf, Paris 1968 (Sources Chrétiennes 137).
  • ÉPHREM DE NISIBE, Hymnes sur la nativité, introduction par F. Graffin, traduction et notes par F. Cassingena–Trévedy, Cerf, Paris 2001 (Sources Chrétiennes 459).
  • ÉPHREM DE NISIBE, Hymnes Pascales, introduction, traduction et notes par F. Cassingena–Trévedy, Cerf, Paris 2006 (Sources Chrétiennes 502).

b) Mfululizo « Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium » (Katika lugha asili na kwa Kijerumani, isipokuwa kitabu cha kwanza ambacho ni tafsiri ya Kilatini)

  • SAINT’ÉPHRAEM, Commentaire de l’Évangile concordant. Version ármenienne, traduite en latin par L. Leloir, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1964 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 145).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen contra Haereses, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1957 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 169-170) .
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Paradiso und contra Julianum, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1957 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 174-175).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Nativitate (Épiphania), Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1959 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 186-187).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Ecclesia, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1960 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 198-199).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermones de Fide, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1961 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 212-213).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Carmina Nisibena. I, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1961 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 218-219).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Verginitate, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1962 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 223-224).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Carmina Nisibena. II, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1963 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 240-241).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Ieiunio, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1964 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 246-247).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Paschahymnen (de azimis, de crucifixione, de resurrectione), Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1964 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 248-249).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen de Fide, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1965 (Texte) 1967 (Version) (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 154-155).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermo de Domino Nostro, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1966 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 269-270).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermones. I, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1970 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 305-306).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermones. II, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1970 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 311-312).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermones. III, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1972 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 320-321).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Hymnen auf Abraham Kydunaya und Julianos Saba, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1972 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 322-323).
  • DES HEILIGEN EPHRAEM DES SYRERS, Sermones. IV, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1973 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 334-335)
  • EPHRAEM SYRUS, Nachträge, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1975 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 363-364).
  • EPHRAEM SYRUS, Sermones in Hebdomadam Sanctam, Herausgegeben und Übersetzt von E. Beck, Sécretariat du CorpusSCO, Louvain 1979 (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium 412-413).

c) Tafsiri za Kiingereza

  • introduction, St. Ephrem ;; Brock, translation by Sebastian (1990). Hymns on paradise. Crestwood, N.Y.: St. Vladimir's Seminary Press. ISBN 0-88141-076-4. 
  • Mathews, St. Ephrem the Syrian ; translated by Edward G.; Jr., ; McVey, Joseph P. Amar ; edited by Kathleen (1994). Selected prose works : Commentary on Genesis, Commentary on Exodus, Homily on our Lord, Letter to Publius/ St. Ephrem the Syrian. Transl. by Edward G. Mathews, Jr. and Joseph P. Amar. Ed. by Kathleen McVey.. Washington, D.C: Catholic Univ. of America Press. ISBN 0-8132-0091-1. 
  • translated; Meyendorff, introduced by Kathleen E. McVey ; preface by John (1989). Ephrem the Syrian : hymns. New York: Paulist Press. ISBN 0-8091-3093-9. 

Vyanzo [hariri]

  • Bou Mansour, Tanios (1988). La pensée symbolique de saint Ephrem le Syrien. Bibliothèque de l'Université Saint Esprit XVI. Kaslik, Lebanon.
  • Brock, Sebastian P (1985). The luminous eye: the spiritual world vision of Saint Ephrem. Cistercian Publications. ISBN 0-87907-624-0.
  • Brock, Sebastian (trans) (1990). Hymns on paradise: St. Ephrem the Syrian. St Vladimir's Seminary Press, Crestwood, New York. ISBN 0-88141-076-4.
  • den Biesen, Kees (2002). Bibliography of Ephrem the Syrian. Self-published, Giove in Umbria. (ephrem_bibliography@hotmail.com)
  • den Biesen, Kees (2006). Simple and Bold: Ephrem's Art of Symbolic Thought. Gorgias Press, Piscataway, New Jersey. ISBN 1-59333-397-8.
  • Griffith, Sidney H (1997). Faith adoring the mystery: reading the Bible with St. Ephraem the Syrian. Marquette University Press, Milwaukee, Wisconsin. ISBN 0-87462-577-7.
  • Matthews, Jr., Edward G. and Joseph P. Amar (trans), Kathleen McVey (ed) (1994). Saint Ephrem the Syrian: selected prose works. Catholic University of America Press. ISBN 0-8132-0091-1.
  • McVey, Kathleen E (trans) (1989). Ephrem the Syrian: hymns. Paulist Press. ISBN 0-8091-3093-9.
  • Mourachian, Mark. "Hymns Against Heresies: Comments on St. Ephrem the Syrian". Sophia, 17, No. 2, Winter 2007. ISSN 0194-7958.
  • Parry, Ken; David Melling (editors) (1999). The Blackwell Dictionary of Eastern Christianity. Malden, MA.: Blackwell Publishing. ISBN 0-631-23203-6. 

Viungo vya nje [hariri]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu: