Wilaya ya Bangolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Wilaya ya Bangolo
Mahali paWilaya ya Bangolo
Mahali paWilaya ya Bangolo
Eneo la Wilaya ya Bangolo.
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Montagnes
Mkoa Guémon
Serikali[1]
 - Prefect Mahama Gbané
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 318,129
GMT (UTC+0)

Wilaya ya Bangolo (kwa Kifaransa: département de Bangolo) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Guémon ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 318,129.

Makao makuu ya eneo hilo ni Bangolo.

Wilaya ya Bangolo sasa imegawanywa katika Tarafa zifuatazo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.