Mkoa wa Gôh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Gôh
Mahali paMkoa wa Gôh
Mahali paMkoa wa Gôh
Mahali pa Mkoa wa Gôh
katika Cote d'Ivoire
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Gôh-Djiboua
Serikali[1]
 - Prefect N`Zi Kanga Remi
 - Rais wa Baraza Joachim Djédjé Bagnon
Eneo[2]
 - Jumla 7,327 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 876,117
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Gôh (kwa Kifaransa: Région du Gôh) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katika kusini ya kati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Gagnoa. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 876,117.

Gôh kwa sasa imegawanywa katika wilaya mbili:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. " Gôh" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.