Mkoa wa Tonkpi
Jump to navigation
Jump to search
Mkoa wa Tonkpi | |
Mahali pa Mkoa wa Tonkpi (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Montagnes |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Montagnes |
Serikali [1] | |
- Prefect | Soro Kayaha Jerome |
- Rais wa Baraza | Woï Mela Gaston Aimé |
Eneo [2] | |
- Mkoa | 12,284 km² |
Mkoa wa Tonkpi (kwa Kifaransa: Région du Tonkpi) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Uko katika Magharibi ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Man. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 992,564.
Tonkpi kwa sasa imegawanywa katika Wilaya tano:
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
- ↑ "Tonkpi", gouv.ci, accessed 23 February 2016.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Tonkpi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |