Mkoa wa Tonkpi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Tonkpi
Mahali paMkoa wa Tonkpi
Mahali paMkoa wa Tonkpi
Mahali pa Mkoa wa Tonkpi (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Montagnes
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Montagnes
Serikali[1]
 - Prefect Soro Kayaha Jerome
 - Rais wa Baraza Woï Mela Gaston Aimé
Eneo[2]
 - Jumla 12,284 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 992,564
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Tonkpi (kwa Kifaransa: Région du Tonkpi) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katika Magharibi ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Man. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 992,564.

Tonkpi kwa sasa imegawanywa katika Wilaya tano:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Tonkpi" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.