Jimbo la Vallée du Bandama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Vallée du Bandama
Jimbo la Vallée du Bandama is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Vallée du Bandama
Jimbo la Vallée du Bandama

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 8°16′13″N 4°56′42″W / 8.27028°N 4.94500°W / 8.27028; -4.94500
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Vallée du Bandama
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,440,826[1]

Jimbo la Vallée du Bandama (kwa Kifaransa: District de la Vallée du Bandama) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko kitovu cha nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,440,826[1].

Makao makuu yako Bouaké.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast)". Statoids.com. Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.