Jimbo la Vallée du Bandama
Jump to navigation
Jump to search
Jimbo la Vallée du Bandama | |
Lua error in Module:Location_map at line 510: Unable to find the specified location map definition: "Module:Location map/data/Côte d'Ivoire" does not exist.Eneo katika Côte d'Ivoire |
|
Majiranukta: 8°16′13″N 4°56′42″W / 8.27028°N 4.945°W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Vallée du Bandama |
Idadi ya wakazi | |
- | 1,440,826[1] |
Jimbo la Vallée du Bandama (kwa Kifaransa: District de la Vallée du Bandama) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko kitovu cha nchi[1].
Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,440,826[1].
Makao makuu yako Bouaké.
Mikoa[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Vallée du Bandama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |