Wilaya ya Katiola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Wilaya ya Katiola
Mahali paWilaya ya Katiola
Mahali paWilaya ya Katiola
Eneo la Wilaya ya Katiola.
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Vallée du Bandama
Mkoa Hambol
Serikali[1]
 - Prefect Omepieu Yul Lambert
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 106,905
GMT (UTC+0)

Wilaya ya Katiola (kwa Kifaransa: département De Katiola) ni moja kati ya Wilaya tatu za Mkoa wa Hambol ulioko katikati mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 106,905.

Makao makuu ya eneo hilo ni Katiola.

Wilaya ya Katiola sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.