Mkoa wa Bounkani
Jump to navigation
Jump to search
Mkoa wa Bounkani | |
Mahali pa Mkoa wa Bounkani (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Zanzan |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Zanzan |
Serikali [1] | |
- Prefect | Tuo Fozie, |
- Rais wa Baraza | Hien Philippe |
Eneo [2] | |
- Mkoa | 22 091 km² |
Mkoa wa Bounkani (kwa Kifaransa: Région du Bounkani) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Uko katika Kaskazini mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Bouna. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 267,167.
Bounkani kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
- ↑ "Bounkani", gouv.ci, accessed 23 February 2016.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bounkani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |