Mkoa wa Lôh-Djiboua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Lôh-Djiboua
Mahali paMkoa wa Lôh-Djiboua
Mahali paMkoa wa Lôh-Djiboua
Mahali pa Mkoa wa Lôh-Djiboua (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Gôh-Djiboua
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Gôh-Djiboua
Serikali[1]
 - Prefect Kpan Droh Joseph
 - Rais wa Baraza Komenan Tchekoura Rolland Zakpa
Eneo[2]
 - Jumla 10,650 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 729,169
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Lôh-Djiboua (kwa Kifaransa: Région du Lôh-Djiboua) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katika Magharibi ya kati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Divo. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 729,169.

Lôh-Djiboua kwa sasa imegawanywa katika wilaya tatu:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Lôh-Djiboua" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.