Mkoa wa Bagoué

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Bagoué
Mahali paMkoa wa Bagoué
Mahali paMkoa wa Bagoué
Mahali pa Mkoa wa Bagoué (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Savanes
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Savanes
Serikali[1]
 - Prefect Issa Coulibaly
 - Rais wa Baraza Siama Bamba
Eneo[2]
 - Jumla 10,668 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 375,687
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Bagoué (kwa Kifaransa: Région de la Bagoué) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katika Kaskazini ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Boundiali. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 375,687.

Bagoué kwa sasa imegawanywa katika wilaya tatu:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Agnéby-Tiassa" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.