Jimbo la Bas-Sassandra

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Bas-Sassandra
Jimbo la Bas-Sassandra is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Bas-Sassandra
Jimbo la Bas-Sassandra

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 5°21′8″N 6°40′36″W / 5.35222°N 6.67667°W / 5.35222; -6.67667
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Bas-Sassandra
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,280,548[1]

Jimbo la Bas-Sassandra (kwa Kifaransa: District du Bas-Sassandra) ni moja kati ya Majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko Kusini magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014 (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014), idadi ya wakazi ilikuwa watu 2,280,548[1].

Makao makuu yako San-Pédro.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo Juni 12, 2019.