Mkoa wa Agnéby-Tiassa
Jump to navigation
Jump to search
Mkoa wa Agnéby-Tiassa | |
Mahali pa Mkoa wa Agneby-Tiassa (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Lagunes |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Lagunes |
Serikali [1] | |
- Prefect | Anatole-Privat Bako Digbe |
- Rais wa Baraza | Nando Martin M'Bolo |
Eneo [2] | |
- Mkoa | 9,080 km² |
Tovuti: agneby-tiassa.ci |
Mkoa wa Agneby-Tiassa (kwa Kifaransa: Région de l'Agnéby-Tiassa) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Uko katika kusini-mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Agboville. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 606,852.
Agneby-Tiassa kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
- ↑ "Agnéby-Tiassa", gouv.ci, accessed 23 February 2016.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Agnéby-Tiassa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |