Jimbo la Woroba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Woroba
Jimbo la Woroba is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Woroba
Jimbo la Woroba

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 8°22′6″N 6°44′46″W / 8.36833°N 6.74611°W / 8.36833; -6.74611
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Woroba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 845,139[1]

Jimbo la Woroba (kwa Kifaransa: District du Woroba) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 845,139[1].

Makao makuu yako Séguéla.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.