Jimbo la Zanzan
Mandhari
Jimbo la Zanzan (kwa Kifaransa: District du Zanzan) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko Kaskazini mashariki mwa nchi[1].
Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 934,352[1].
Makao makuu yako Bondoukou.
Mikoa
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Zanzan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |