Wilaya ya Dabou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Wilaya ya Dabou
Mahali paWilaya ya Dabou
Mahali paWilaya ya Dabou
Eneo la Wilaya ya Dabou.
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Lagunes
Mkoa Grands-Ponts
Serikali[1]
 - Prefect Kouakou Assoman
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 148,874
GMT (UTC+0)

Wilaya ya Dabou (kwa Kifaransa: département de Dabou) ni moja kati ya Wilaya tatu za Mkoa wa Grands-Ponts ulioko Kusini mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 148,874.

Makao makuu ya eneo hilo ni Dabou.

Wilaya ya Dabou sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.