Kwame Nkrumah
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kwame Nkrumah pamoja na Martin Luther King
Kwame Nkrumah ni Rais wa kwanza wa Ghana. Alizaliwa Septemba 21, 1909 na kufariki Aprili 27, 1972. Nkrumah alikuwa ni mmoja wa viongozi waliokuwa na nia ya kujenga umoja wa bara zima la Afrika na mchochezi wa falsafa ya umajinuni.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kwame Nkrumah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |