Kwame Nkrumah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwame Nkrumah pamoja na Martin Luther King

Kwame Nkrumah ni Rais wa kwanza wa Ghana. Alizaliwa Septemba 21, 1909 na kufariki Aprili 27, 1972. Nkrumah alikuwa ni mmoja wa viongozi waliokuwa na nia ya kujenga umoja wa bara zima la Afrika na mchochezi wa falsafa ya umajinuni.

Administradors.gif Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kwame Nkrumah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.