Ugiriki : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
d Removing Link FA template (handled by wikidata) |
||
Mstari 82: | Mstari 82: | ||
[[Jamii:Balkani]] |
[[Jamii:Balkani]] |
||
[[Jamii:Maeneo ya Biblia]] |
[[Jamii:Maeneo ya Biblia]] |
||
{{Link FA|uk}} |
|||
{{Link FA|vi}} |
Pitio la 14:26, 22 Aprili 2015
Ugiriki |
---|
Ugiriki (pia: Uyunani; kwa Kigiriki: Ελλάδα, Ellada, au Ελλάς, Ellas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani.
Imepakana na Albania, Jamhuri ya Masedonia, Bulgaria na Uturuki.
Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu kwenye Bahari ya Mediteranea.
Baharini huko kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".
Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000 iliyopita, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.
Wakazi wengi wanafuata dini ya Ukristo, hasa katika Kanisa la Kiorthodoksi la Kigiriki (97%). 1.3% ni Waislamu.
Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.
Viungo vya nje
- (Kiingereza) (Kifaransa) (Kigiriki) Rais wa Ugiriki
Nchi za Umoja wa Ulaya | |
---|---|
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ugiriki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |