Ugiriki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 15: Mstari 15:
|government_type = [[Jamhuri]]
|government_type = [[Jamhuri]]
|leader_titles = [[Rais wa Ugiriki|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Ugiriki|Waziri Mkuu]]
|leader_titles = [[Rais wa Ugiriki|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Ugiriki|Waziri Mkuu]]
|leader_names = [[Karolos Papoulias]] <br /> [[George Papandreou]]
|leader_names = [[Karolos Papoulias]] <br /> [[Antonis Samaras]]
|accessionEUdate = [[1 Januari]] [[1981]]
|accessionEUdate = [[1 Januari]] [[1981]]
|area_rank = ya 96
|area_rank = ya 96
Mstari 25: Mstari 25:
|population_estimate_rank = ya 74
|population_estimate_rank = ya 74
|population_estimate_year = 2005
|population_estimate_year = 2005
|population_census = 10,964,020
|population_census = 10,816,286
|population_census_year = 2001
|population_census_year = 2012
|population_density = 84
|population_density = 77
|population_densitymi² = 218 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|population_densitymi² = 212 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|population_density_rank = ya 108
|population_density_rank = ya 120
|GDP_PPP = $261.018 billioni <!--IMF-->
|GDP_PPP = $261.018 billioni <!--IMF-->
|GDP_PPP_rank = ya 37
|GDP_PPP_rank = ya 37
Mstari 58: Mstari 58:
Imepakana na [[Albania]], [[Jamhuri ya Masedonia]], [[Bulgaria]] na [[Uturuki]].
Imepakana na [[Albania]], [[Jamhuri ya Masedonia]], [[Bulgaria]] na [[Uturuki]].


Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu kwenye [[Bahari ya Mediteranea]].
Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna [[pwani]] ndefu kwenye [[Bahari ya Mediteranea]].


[[Bahari]]ni huko kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.
[[Bahari]]ni huko kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.
Mstari 64: Mstari 64:
Ugiriki ni nchi yenye [[historia]] ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".
Ugiriki ni nchi yenye [[historia]] ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".


[[Lugha]] ya [[Kigiriki]] inaendelea kuandikwa kwa [[Alfabeti ya Kigiriki]] inaotumiwa tangu miaka 3000, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena [[Kigiriki cha Kale]] moja kwa moja.
[[Lugha]] ya [[Kigiriki]] inaendelea kuandikwa kwa [[Alfabeti ya Kigiriki]] inaotumiwa tangu miaka 3000 iliyopita, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena [[Kigiriki cha Kale]] moja kwa moja.

Wakazi wengi wanafuata [[dini]] ya [[Ukristo]], hasa katika [[Kanisa la Kiorthodoksi la Kigiriki]] (97%). 1.3% ni [[Waislamu]].


Ugiriki ni nchi mwanachama wa [[Umoja wa Ulaya]] tangu [[1981]].
Ugiriki ni nchi mwanachama wa [[Umoja wa Ulaya]] tangu [[1981]].

Pitio la 11:20, 14 Novemba 2014

Ugiriki

Ugiriki (pia: Uyunani; kwa Kigiriki: Ελλάδα, Ellada, au Ελλάς, Ellas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani.

Imepakana na Albania, Jamhuri ya Masedonia, Bulgaria na Uturuki.

Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu kwenye Bahari ya Mediteranea.

Baharini huko kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.

Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".

Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000 iliyopita, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.

Wakazi wengi wanafuata dini ya Ukristo, hasa katika Kanisa la Kiorthodoksi la Kigiriki (97%). 1.3% ni Waislamu.

Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.

Viungo vya nje


Nchi za Umoja wa Ulaya Bendera ya Umoja wa Ulaya
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ugiriki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA