Unovisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Unovisi ni kipindi cha pekee katika malezi ya mashirika ya kitawa. Ni kama kiini chake, na kwa sababu hiyo sheria za Kanisa zinakiratibu kwa uangalifu mkubwa[1].

Aliyejisikia wito, kwanza anaandaliwa miaka au walau miezi ili kuziba mapengo ya malezi ya awali katika familia, shule, parokia n.k. hadi akomae zaidi kiutu na Kikristo.

Ndipo anapoanza unovisi ambao kwa kawaida unachukua miaka miwili au walau mmoja[2]

Wakati huo mhusika anatulia kabisa mbele ya Mungu wake akijaribu maisha ya shirika lake ili kuona kama anayaweza.

Katika hilo ni lazima asaidiwe hasa na mlezi na mafundisho mbalimbali ya kidini: Biblia, liturujia, maisha ya Kiroho, nadhiri n.k.

Akiamua na kukubaliwa, anamaliza unovisi kwa kujitoa kwa Mungu walau kwa mwaka mmoja kabla ya kuweka nadhiri za daima.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The novitiate, through which life in an institute is begun, is arranged so that the novices better understand their divine vocation, and indeed one which is proper to the institute, experience the manner of living of the institute, and form their mind and heart in its spirit, and so that their intention and suitability are tested. Canon Law 646. Conscious of their own responsibility, the Novices are to collaborate actively with their Director in such a way that they faithfully respond to the grace of a divine vocation. Canon Law 652.3 Members of the institute are to take care that they cooperate for their part in the work of formation of the Novices through example of life and prayer. Canon Law 652.3 Novices are to be led to cultivate human and Christian virtues; through prayer and self denial they are to be introduced to a fuller way of perfection; they are to be taught to contemplate the mystery of salvation and to read and meditate on the sacred scriptures; they are to be prepared to cultivate the worship of God in the sacred liturgy; they are to learn a manner of leading a life consecrated to God and humanity in Christ through the evangelical counsels; they are to be instructed regarding the character and spirit, the purpose and discipline, the history and life of the institute; and they are to be imbued with love for the Church. Canon Law 652
  2. Novice. Catholic Encyclopedia.
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Unovisi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.