Wito
Wito (pia: mwito; kutoka kitenzi "kuita"; kwa Kiingereza: call) ni agizo au kaulimbiu inayotolewa na mtu au chombo kuhamasisha au kudai watu kuhusu jambo fulani.
Katika dini mbalimbali ni kama sauti kutoka kwa Mwenyezi Mungu inayomuelekeza mtu fulani afanye nini katika maisha yake, kwa mfano kutoa unabii.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |