Uislamu nchini Gambia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Uislamu nchini the Gambia)
Uislamu kwa nchi
Continents colour2.svg


Uislamu ni dini yenye wafuasi wengi nchini Gambia, ikiwa na asilimia 95.3 za idadi ya wakazi wote wa nchi hiyo.[1] Sehemu kubwa ya Waislamu wa Gambia ni wa dhehebu la Sunni wanaofuata mwongozo wa Maliki, wenye athira pia ya Usufi. Vilevile kuna nyendo za Wahmadiyya.[2]

Uislamu nchini humo unasifika kwa kushirikiana na makundi mengine ya dini. Baadhi ya makundi hayo ni pamoja na Kanisa Katoliki, Uprotestanti na Dini asilia za Kiafrika.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]