Uislamu nchini Niger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi


Uislamu nchini Niger ni dini ya kwanza kwa ukubwa. Imani hii hufuatwa na waumini ambao ni zaidi ya asilimia 94 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo,[1] .

Sehemu kubwa ya Waislamu nchini humo ni wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki wakiwa na athira kiasi za Usufii.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. International Religious Freedom Report 2007: Niger. United States Bureau of Democracy, Human Rights and Labor (September 14, 2007). This article incorporates text from this source, which is in the public domain.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Samuel Decalo. Historical Dictionary of Niger (3rd ed.). Scarecrow Press, Boston & Folkestone, (1997) ISBN 0-8108-3136-8

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]