Uislamu barani Afrika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msikiti wa Taifa wa Abuja huko mjini Abuja, Nigeria.
Larabanga Mosque huko Ghana (karne ya 13), mmoja kati ya miskiti ya zamani zaidi iliyodumu hadi leo Afrika Magharibi.
Sankore Madrasah, Timbuktu, Mali (karne ya 12).

Uislamu barani Afrika una uwepo mkubwa huko Afrika Kaskazini, Pembe ya Afrika, Pwani ya Waswahili, na wengine wengi huko Afrika Magharibi, kukiwa na idadi ndogo Afrika Kusini.

Uenezi wa Uislamu[hariri | hariri chanzo]

Afrika ilikuwa bara la kwanza nje ya Uarabuni ambapo Uislamu lilianza kuenea mapema katika karne ya 7. Karibia theluthi moja ya idadi ya Waislamu wote duniani wanaishi katika bara hili.

Waislamu walipita Jibuti na Eritrea kuomba hifadhi ya makazi katika Ethiopia ya leo wakati wa Kuhamia Uhabeshi.[1]

Waislamu walio wengi barani Afrika ni wa dhehebu la Sunni; utatanishi wa Uislamu barani Afrika umeonekana katika shule mbalimbali za fikira, mapokeo, na sauti kutoka katika nchi nyingi za Afrika. Uislamu wa Afrika sio tuli kabisa na umekuwa ukibadilika kulingana na jamii ulionea - hasa kutokana na uchumi na hali za siasa.

Ilipata kukadiriwa mnamo mwaka wa 2002 ya kwamba taasisi za Kiislamu zimefikia asilimia 45 ya wakazi wote wa Afrika.[2]

Soma zaidi[hariri | hariri chanzo]

  • J. Spencer Trimingham, History of Islam in West Africa. Oxford University Press, 1962.
  • Nehemia Levtzion and Randall L. Pouwels (eds). The History of Islam in Africa. Ohio University Press, 2000.
  • David Robinson. Muslim Societies in African History. Cambridge University Press, 2004.
  • Bruce S. Hall, A History of Race in Muslim West Africa, 1600-1960. Cambridge University Press, 2011, ISBN 9781107002876.
  • Paul Schrijver, Bibliography on Islam in contemporary Sub-Saharan Africa. African Studies Centre, Leiden, 2006, ISBN 9789054480679 Updated online version

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Muslim Societies in African History (New Approaches to African History), David Robinson, Chapter 1.
  2. Encyclopædia Britannica. Britannica Book of the Year 2003. Encyclopædia Britannica, (2003) ISBN 9780852299562 p.306
    Kwa mujibu wa kamusi elezo ya Encyclopædia Britannica, ilipofika katikati ya mwaka wa 2002, kulikuwa na Wakristo wapatao 376,453,000, na Waislamu 329,869,000 na watu wengine 98,734,000 ambao wanafuata dini za jadi za Afrika. Ian S. Markham,(A World Religions Reader. Cambridge, MA: Blackwell Publishers, 1996.) is cited by Morehouse University as giving the mid-1990s figure of 278,250,800 Muslims in Africa, but still as 40.8% of the total population. These numbers are estimates, and remain a matter of conjecture. See Amadu Jacky Kaba. The spread of Christianity and Islam in Africa: a survey and analysis of the numbers and percentages of Christians, Muslims and those who practice indigenous religions. The Western Journal of Black Studies, Vol 29, Number 2, June 2005. Discusses the estimations of various almanacs and encyclopedium, placing Britannica's estimate as the most agreed figure. Notes the figure presented at the World Christian Encyclopedia, summarized here Archived 5 Machi 2016 at the Wayback Machine., as being an outlier. On rates of growth, Islam and Pentecostal Christianity are highest, see: The List: The World’s Fastest-Growing Religions Archived 21 Mei 2007 at the Wayback Machine., Foreign Policy, May 2007.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]