Uislamu nchini Liberia
Mandhari

| Uislamu kwa nchi |
Uislamu nchini Liberia unakadiriwa kufuatwa na watu karibia asilimia 12.2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo.[1]
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Liberia ni wale wanaofuata mafundisho ya Maliki dhehebu la Sunni, kukiwa na idadi kiasi ya Shia na Ahmadiyya.[2] Kundi kubwa la Waislamu nchini humo ni la kabila la Wavai na Mandingo lakini pia Wagbandi, Kpelle na jamii zingine ndogondogo.[3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "International Religious Freedom Report 2010: Liberia". United States Department of State. Novemba 17, 2010. Iliwekwa mnamo Julai 22, 2011.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "The World's Muslims: Unity and Diversity" (PDF). Pew Forum on Religious & Public life. Agosti 9, 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-10-24. Iliwekwa mnamo Agosti 14, 2012.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Larkin, Barbara (2001). International Religious Freedom (2000): Report to Congress by the Department of State. uk. 46.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Globalsecurity.org report on religion in Liberia
- "The Status of Liberia Muslims And The Advocacy For Sharia Courts" 15 November 2002 Ilihifadhiwa 8 Machi 2006 kwenye Wayback Machine.
- "Religion And Power in Liberia" 17 June 2005 Ilihifadhiwa 6 Oktoba 2014 kwenye Wayback Machine.
- Islamicpopulation.com: Liberian Muslims