Uislamu nchini Liberia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi
Continents colour2.svg

Uislamu nchini Liberia unakadiriwa kufuatwa na watu karibia asilimia 12.2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo.[1]

Sehemu kubwa ya Waislamu wa Liberia ni wale wanaofuata mafundisho ya Maliki dhehebu la Sunni, kukiwa na idadi kiasi ya Shia na Ahmadiyya.[2] Kundi kubwa la Waislamu nchini humo ni la kabila la Wavai na Mandingo lakini pia Wagbandi, Kpelle na jamii zingine ndogondogo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. International Religious Freedom Report 2010: Liberia. United States Department of State (November 17, 2010). Iliwekwa mnamo July 22, 2011.
  2. The World's Muslims: Unity and Diversity. Pew Forum on Religious & Public life (August 9, 2012). Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-10-24. Iliwekwa mnamo August 14, 2012.
  3. Larkin, Barbara (2001). International Religious Freedom (2000): Report to Congress by the Department of State, 46. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]