Uislamu nchini Eritrea
Mandhari
| Uislamu kwa nchi |
Uislamu nchini Eritrea ni dini ya pili kwa wingi wa waumini ambayo inafuatwa sana baada ya Ukristo ikiwa na asilimia 36-48 za wakazi wote.
Historia
[hariri | hariri chanzo]Imani hiyo iliwasili nchini Eritrea mapema sana, muda mfupi baada ya Hijira.[1]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ J. Spencer Trimingham. 1952.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- The Muslim-Christian War (1528-1560) Ilihifadhiwa 30 Aprili 2010 kwenye Wayback Machine.
- Ethiopian History and Civilization Archived 2013-02-21 at Archive.today
Jisomee
[hariri | hariri chanzo]- Jon Abbink, "An Historical-Anthropological Approach to Islam in Ethiopia: Issues of Identity and Politics", Journal of African Cultural Studies, 11 (1998), pp. 109–124
- Dickson, David, "Political Islam in Sub-Saharan Africa: The Need for a new Research and Diplomatic Agenda" Ilihifadhiwa 11 Februari 2009 kwenye Wayback Machine., United States Institute of Peace, Special Report 140, May 2005.
| Makala kuhusu Uislamu kwa nchi bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |