Uislamu nchini Togo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi
Msikiti mjini kaskazini mwa Togo

Waislamu nchini Togo wanawakilisha kati ya asimilia 12 na 20 ya idadi yote ya wakazi wa taifa hilo. Uislamu umekuja nchini Togo sawa jinsi ulivyokuja zaidi huko Afrika Magharibi. Sehemu ya Waislamu wa Togo ni wafuasi wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. CIA=Togo

Kigezo:Togo-stub