Uislamu nchini Cape Verde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Cape Verde ni dini ndogo yenye jumuia hafifu lakini zinakua kwa kasi.[1]Waislamu wengi nchini hapa ni wahamiaji kutoka Senegal na nchi nyingine za jirani, na hujishughulisha na biashara ndogondogo na kuuza urembo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. International Religious Freedom Report 2009

Kigezo:CapeVerde-stub