Uislamu nchini Moroko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msikiti mjini Larache.
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Moroko ni dini kubwa sana, ikiwa inachukua asilimia zaidi ya 99 ya jumla ya wakazi wote nchini.[1]

Sehemu kubwa ya Waislamu wa Moroko ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuta mafundisho ya imamu Maliki.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Islam by country

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]