Uislamu nchini Ethiopia
Jump to navigation
Jump to search
Uislamu kwa nchi ![]() |
Uislamu nchini Ethiopia ni dini ya pili kwa wingi wa waumini ambayo inafuatwa sana baada ya Ukristo.
Kwa mujibu wa sensa ya taifa ya mwaka wa 2007, kuna waumini zaidi ya milioni 25 (au 34% ya wakazi wote) ambao ni Waislamiu.[1]
Uislamu ni dini yenye kundi la watu wengi ambao ni Wasomali, Wafar, Wargobba, Waharari, Waberta, Walaba, na Wasilt'e; pia wafuasi wengi miongoni mwao ni Wagurage na Waoromo.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Imani hiyo iliwasili nchini Ethiopia mapema sana, muda mfupi baada ya Hijira.[2]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Population and Housing Census Report-Country - 2007, Central Statistical Agency, 2010-07, Table 3.3.
- ↑ J. Spencer Trimingham. 1952.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- The Muslim-Christian War (1528-1560) Archived Aprili 30, 2010 at the Wayback Machine.
- Ethiopian History and Civilization
Jisomee[hariri | hariri chanzo]
- Jon Abbink, "An Historical-Anthropological Approach to Islam in Ethiopia: Issues of Identity and Politics", Journal of African Cultural Studies[1], 11 (1998), pp. 109–124
- Dickson, David, "Political Islam in Sub-Saharan Africa: The Need for a new Research and Diplomatic Agenda", United States Institute of Peace, Special Report 140, May 2005.
![]() |
Makala kuhusu Uislamu kwa nchi bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |