Nenda kwa yaliyomo

Msikiti wa Taifa wa Abuja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msikiti wa Taifa wa Abuja

Msikiti wa Taifa wa Abuja, pia unajulikana kama Msikiti wa Taifa wa Nigeria, ni msikiti mkubwa wa taifa nchini Nigeria, nchi yenye Waislamu wengi walio thabiti barani Afrika.

Msikiti huo ulijengwa mnamo mwaka wa 1984[1] na u wazi hata kwa umma ambao si Waislamu, kasoro katika sala za masheha tu.

Ustadhi Musa Mohammed ndiye imamu mkuu katika msikiti huu.[2]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Abuja National Mosque". ArchNet. Massachusetts Institute of Technology. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2005-03-26. Iliwekwa mnamo 2007-08-08.
  2. Ozoemena, Charles; Olasunkanmi Akoni; Wahab Abdullahi (2005-11-03). "Sallah: Obasanjo hosts Atiku, others". Vanguard online. Vanguard Media Limited. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-10-09. Iliwekwa mnamo 2007-08-08.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu msikiti au sehemu nyingine za kuabudia Waislamu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Msikiti wa Taifa wa Abuja Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: