Taifa Stars
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Taifa Stars ni timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania.
[hariri] Rekodi za Taifa Stars
Mshindi wa mashindano ya CECAFA mwaka 1974 na 1984
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Taifa Stars kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |