Ukatekumeni
Ukatekumeni (kutoka neno la Kigiriki κατηχούμενος, katēchúmenos, yaani "mtu anayefundishwa", kwa Kiingereza "catechumen") ni kipindi cha malezi ya Kikristo ambacho kinalenga hasa kuandaa watu kwa ajili ya ubatizo.
Kadiri ya Mtaguso wa pili wa Vatikano, uliorudisha katika Kanisa Katoliki taratibu za karne za kwanza Baada ya Kristo, kisha kuchunguza na kunyosha sababu za uongofu wao, waliojaliwa mwanzo wa imani wapokewe kwa ibada maalumu katika ukatekumeni ambao ufuate maagizo mbalimbali ya sheria za Kanisa.
Madhehebu mengine ya Ukristo, ingawa si yote, yana utaratibu wa namna hiyo.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- North American Association for the Catechumenate Archived 23 Januari 2017 at the Wayback Machine.
- The Rite of Christian Initiation of Adults Resource Site Archived 3 Machi 2011 at the Wayback Machine.
- North American Forum on the Catechumenate Archived 11 Aprili 2021 at the Wayback Machine.
- TeamRCIA
- The Blog That's All About R.C.I.A.
- The Association for Catechumenal Ministry
- Waking Up Catholic - RCIA Information Archived 15 Septemba 2017 at the Wayback Machine.
- Catholic Encyclopedia article on Catechumen
- OrthodoxWiki:Catechumen, an OrthodoxWiki article
![]() |
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ukatekumeni kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |