Nenda kwa yaliyomo

Israel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Waisraeli)
Dola la Israeli
מדינת ישראל (Kiebrania)
Dawlat Isrā'īl دَوْلَةْ إِسْرَائِيل (Kiarabu)
Bendera Nembo
Wimbo wa taifa
הַתִּקְוָה (Hatīkvāh; "The Hope")

ukubwa_wa_picha

Eneo la Israeli na Maeneo walioteka ya Palestina

Jiji kubwa
(na mji mkuu)
Jerusalem
Lugha rasmi Kiebrania
Lugha ya hali maalum Kiarabu
Kabila

21.1% Waarabu 5.4% Wengine

Dini
Utaifa Israeli
Aina ya Serikali Jamhuri ya Muungano wa Rais
Rais Isaac Herzog
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu
Spika wa Knesset (bunge) Amir Ohanna
Historia
Uhuru 14 May 1981
Ukubwa wa eneo
Jumla 20,770 km²
Asilimia ya maji 2.71 %
Idadi ya watu
Kadirio (2025) increase 10,009,800
Sensa (2022) 9,601,720
Msongamano 454 /km²
Pato la taifa PPP (2025)
Jumla increase $565.878 Bilioni [1] (ya 47)
Capita increase $55,847 [1]
Pato la taifa (2025)
Jumla increase $550.905 Bilioni [1] (ya 29)
Capita increase $54,370 [1]
Kiashiria cha maendeleo ya watu (2022) increase 0.915 (25)
Maendeleo ya Juu Sana
Kiashiria cha ukosefu wa usawa (2021)
37.9
Ukosefu wa usawa wa kati
Sarafu New shekel (₪) (ILS)
Eneo la saa UTC+2 (IST)
Nambari ya mwito +972
Upande wa gari Kulia
Jina la kikoa .il
Eneo jumla ya Israeli pamoja na Golan Heights na Jerusalem ya Kulia ni 22,072 Km2

Israel (kwa Kiebrania: מדינת ישראל - Medinat Yisra'el; kwa Kiarabu: دَوْلَةْ إِسْرَائِيل - dawlat Isrā'īl) , rasmi Dola la Israel, ni nchi iliyoko Magharibi mwa Asia. Iko katika eneo la Kusini mwa Levant katika Mashariki ya Kati; na inapakana na Lebanoni na Syria upande wa kaskazini, Ukingo wa Magharibi na Jordan upande wa mashariki, Ukanda wa Gaza na Misri upande wa kusini-magharibi, na Bahari ya Mediterranean upande wa magharibi. Israel pia ina pwani ndogo kwenye Bahari ya Shamu kwenye pointi yake ya kusini kabisa, na sehemu ya Bahari ya Chumvi inapatikana kando ya mipaka yake ya mashariki. Mji wake mkuu ni Yerusalemu, wakati Tel Aviv ni eneo kubwa la mijini na kituo cha kiuchumi cha nchi hiyo.

Historia

Nchi ya kisasa ilianzishwa tarehe 14 Mei 1948 lakini nyuma kuna historia ndefu, ambayo kwa sehemu muhimu inasimulia na Biblia kama kiini cha historia ya wokovu.

Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu mwaka 1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri ya Sheria ya kimataifa haieleweki.

Demografia

Takriban 74.9% za wakazi ni Wayahudi ambao wengi wao wanafuata dini ya Uyahudi, na 20.7 % ni Waarabu ambao wengi ni Waislamu (16%) lakini pia Wakristo (2% za raia wote: kati ya Wakristo hao karibu 80% ni Waarabu). Wahamiaji wengi wasiopata uraia ni Wakristo.

Lugha rasmi ni Kiebrania na Kiarabu. Lugha nyingine zinazotumika sana nyumbani ni Kirusi, Kifaransa na Kiamhari, mbali ya Kiingereza.

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Israel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. 1.0 1.1 1.2 1.3 "Israel GDP profile". Iliwekwa mnamo 2025-01-30.