Israel
מדינת ישראל (Kiebrania) Dawlat Isrā'īl دَوْلَةْ إِسْرَائِيل (Kiarabu) |
|||
![]() |
![]() |
||
Wimbo wa taifa הַתִּקְוָה (Hatīkvāh; "The Hope") |
|||
Eneo la Israeli na Maeneo walioteka ya Palestina |
|||
Jiji kubwa (na mji mkuu) |
Jerusalem | ||
---|---|---|---|
Lugha rasmi | Kiebrania | ||
Lugha ya hali maalum | Kiarabu | ||
Kabila | |||
Dini | |||
Utaifa | Israeli | ||
Aina ya Serikali | Jamhuri ya Muungano wa Rais | ||
Rais | Isaac Herzog | ||
Waziri Mkuu | Benjamin Netanyahu | ||
Spika wa Knesset (bunge) | Amir Ohanna | ||
Historia | |||
Uhuru | 14 May 1981 | ||
Ukubwa wa eneo | |||
Jumla | 20,770 km² | ||
Asilimia ya maji | 2.71 % | ||
Idadi ya watu | |||
Kadirio (2025) | ![]() |
||
Sensa (2022) | 9,601,720 | ||
Msongamano | 454 /km² | ||
Pato la taifa PPP (2025) | |||
Jumla | ![]() |
||
Capita | ![]() | ||
Pato la taifa (2025) | |||
Jumla | ![]() |
||
Capita | ![]() |
||
Kiashiria cha maendeleo ya watu (2022) | ![]() Maendeleo ya Juu Sana |
||
Kiashiria cha ukosefu wa usawa (2021) |
37.9
Ukosefu wa usawa wa kati |
||
Sarafu | New shekel (₪) (ILS) | ||
Eneo la saa | UTC+2 (IST) | ||
Nambari ya mwito | +972 | ||
Upande wa gari | Kulia | ||
Jina la kikoa | .il | ||
Eneo jumla ya Israeli pamoja na Golan Heights na Jerusalem ya Kulia ni 22,072 Km2 |
Israel (kwa Kiebrania: מדינת ישראל - Medinat Yisra'el; kwa Kiarabu: دَوْلَةْ إِسْرَائِيل - dawlat Isrā'īl) , rasmi Dola la Israel, ni nchi iliyoko Magharibi mwa Asia. Iko katika eneo la Kusini mwa Levant katika Mashariki ya Kati; na inapakana na Lebanoni na Syria upande wa kaskazini, Ukingo wa Magharibi na Jordan upande wa mashariki, Ukanda wa Gaza na Misri upande wa kusini-magharibi, na Bahari ya Mediterranean upande wa magharibi. Israel pia ina pwani ndogo kwenye Bahari ya Shamu kwenye pointi yake ya kusini kabisa, na sehemu ya Bahari ya Chumvi inapatikana kando ya mipaka yake ya mashariki. Mji wake mkuu ni Yerusalemu, wakati Tel Aviv ni eneo kubwa la mijini na kituo cha kiuchumi cha nchi hiyo.
Historia
Nchi ya kisasa ilianzishwa tarehe 14 Mei 1948 lakini nyuma kuna historia ndefu, ambayo kwa sehemu muhimu inasimulia na Biblia kama kiini cha historia ya wokovu.
Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu mwaka 1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri ya Sheria ya kimataifa haieleweki.
Demografia
Takriban 74.9% za wakazi ni Wayahudi ambao wengi wao wanafuata dini ya Uyahudi, na 20.7 % ni Waarabu ambao wengi ni Waislamu (16%) lakini pia Wakristo (2% za raia wote: kati ya Wakristo hao karibu 80% ni Waarabu). Wahamiaji wengi wasiopata uraia ni Wakristo.
Lugha rasmi ni Kiebrania na Kiarabu. Lugha nyingine zinazotumika sana nyumbani ni Kirusi, Kifaransa na Kiamhari, mbali ya Kiingereza.
Tazama pia
Viungo vya nje
- (Kiingereza) (Kiarabu) na (Kiebrania) Tovuti ya serikali
- Israel blog Ilihifadhiwa 3 Novemba 2009 kwenye Wayback Machine.
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Israel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
- ↑ 1.0 1.1 1.2 1.3 "Israel GDP profile". Iliwekwa mnamo 2025-01-30.