Stabat Mater

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Stabat Mater ni sekwensya maarufu iliyotungwa katika karne ya 13 na inayotumika kati ya masomo ya Misa siku ya Bikira Maria wa Mateso, tarehe 15 Septemba.

Jina hilo la Kilatini linamaanisha "Mama alikuwa amesimama" na linafikirisha mateso ya Bikira Maria aliposimama chini ya Msalaba wa Yesu kadiri ya Injili ya Yohane 19:25.

Watunzi wengi wa muziki walitia nota utenzi huo, kama vile:

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.00 1.01 1.02 1.03 1.04 1.05 1.06 1.07 1.08 1.09 1.10 1.11 1.12 Dvořák: Stabat Mater. Oratorio for Soloists, Chorus and Orchestra at Supraphon website.
  2. Entry for Antoni Soler's Stabat Mater at The Ultimate Stabat Mater Site: A Musical Journey Through the Ages. [Accessed 16 December 2020].
  3. "Kuula - The ultimate Stabat Mater site", The ultimate Stabat Mater site. (en-GB) 
  4. "James MacMillan - Stabat Mater". Boosey & Hawkes. Iliwekwa mnamo 2017-04-14. 
  5. Stabat Mater for mezzo-soprano and male choir (2017)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Stabat Mater kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.