Mitra

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mitra ya Ukristo wa Mashariki.
Mitra ya Ukristo wa Magharibi.


Mitra (kutoka Kigiriki: μίτρα, mitra, "kilemba"; kwa Kiingereza mitre au miter) ni kofia kubwa inayovaliwa na askofu, abati au mkleri fulani wakati wa ibada za Kanisa Katoliki, Makanisa ya Kiorthodoksi, Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki, Ushirika wa Anglikana na baadhi ya Walutheri.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Mitres Photographs and descriptions of the different types of mitres
  • Episcopal Mitre from Kavsokalyvia, Mount Athos
  • [1] Mitre worn by the Archbishop of Esztergom, the Primate of Hungary, at coronations of Kings of Hungary.
  • [2] Archived 3 Machi 2016 at the Wayback Machine. Mitre worn by Pope John Paul I at his papal inauguration Mass. From the National Geographic book Inside the Vatican, 1991.
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mitra kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.