Ugiriki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ang:Crecaland
d roboti Badiliko: wo:Gires
Mstari 218: Mstari 218:
[[vo:Grikän]]
[[vo:Grikän]]
[[war:Gresya]]
[[war:Gresya]]
[[wo:Girees]]
[[wo:Gires]]
[[wuu:希腊]]
[[wuu:希腊]]
[[yi:גריכנלאנד]]
[[yi:גריכנלאנד]]

Pitio la 17:42, 7 Septemba 2008

Ugiriki

Ugiriki (pia: Uyunani; kigir.: Ελλάδα (elada) au Ελλάς (elas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani. Imepakana na Bulgaria, Jamhuri ya Masedonia, Albania na Uturuki. Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu na Bahari ya Mediteranea. Baharini kuna visiwa vingi sana mabavyo ni sehemu za Ugiriki.

Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana inaitwa "nchi mama ya Ulaya".

Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000 lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.

Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.

zh-classic dick plesure :希臘

Kigezo:Link FA