Nenda kwa yaliyomo

Abesi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eufemia Szaniawska, Abesi wa Nieśwież, 1768 hivi, Warsaw.


Ngao ya abesi.

Abesi (kutoka Kiingereza: abbess; pia: abatisa kutoka Kilatini abbatissa) ni cheo cha mmonaki wa kike anayeongoza monasteri kamili; kwa namna fulani kinalingana na kile cha abati na mara nyingi anavaa kama huyo msalaba kifuani kama ishara ya mamlaka yake.

Abesi ni kwa masista wake mama na mwalimu katika safari ya Kiroho. Kwa ajili hiyo anaongoza sala ya jumuia, anagawa majukumu na anasamehe utekelezaji wa vipengele fulanifulani hasa kwa walio wagonjwa.

  • Fletcher, Adrian (2007). "The Royal Abbey of Fontevraud". Paradox Place. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 9 Mei 2015. Iliwekwa mnamo 8 Mei 2015. {{cite web}}: Invalid |ref=harv (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Henneberry, Thomas E. (1997). "abbess". Katika Johnston, Bernard (mhr.). Collier's Encyclopedia. Juz. la I: A to Ameland (tol. la 1st). New York, NY: P. F. Collier. ISBN 1-5716-1093-6. LCCN 96084127. {{cite encyclopedia}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Hoiberg, Dale H., mhr. (2010). "abbess". Encyclopædia Britannica. Juz. la 1: A-ak Bayes (tol. la 15th). Chicago, IL: Encyclopædia Britannica, Inc. ISBN 0-85229-961-3. LCCN 2002113989. {{cite encyclopedia}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Oestreich, Thomas (1907). "Abbess". Katika Herbermann, Charles George; Pace, Edward A.; Fallen, Conde B.; Shahan, Thomas J.; Wynne, John J. (whr.). Catholic Encyclopedia. Juz. la 1. New York, NY: Robert Appleton Company. LCCN 07071606. {{cite encyclopedia}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Rambler, Nash (11 Mei 2010). "Last of Her Kind: Princess Sophia Albertina of Sweden & Norway". The Esoteric Curiosa. Iliwekwa mnamo 8 Mei 2015. {{cite web}}: Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abesi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.