Jimbo Kuu la Kisumu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo kuu la Kisumu)
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Kisumu (kwa Kilatini Archidioecesis Kisumuensis) ni jimbo kuu la kanda ya Kanisa Katoliki ya Kisumu nchini Kenya.

Chini yake kuna: majimbo ya Bungoma, Eldoret, Homa Bay, Kakamega, Kisii, Kitale na Lodwar.

Askofu mkuu ni Zacchaeus Okoth.

Uongozi[hariri | hariri chanzo]

  • Maaskofu wakuu
    • Gorgon Gregory Brandsma MHM, 1925–1935
    • Nicolas Stam MHM, 1936–1948
    • Frederick Hall MHM, 1948–1963
    • Joannes de Reeper MHM, 1964–1976
    • Philip Sulumeti, 1976–1978
    • Zacchaeus Okoth, 1978–

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

Eneo la jimbo lina kilometa mraba 6,419, ambapo kati ya wakazi 2,061,628, Wakatoliki ni 431,120 (20.9%) katika parokia 33.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]