Jimbo Kuu la Kisumu
Mandhari
(Elekezwa kutoka Jimbo kuu la Kisumu)
Jimbo Kuu la Kisumu (kwa Kilatini Archidioecesis Kisumuensis) ni jimbo kuu la kanda ya Kanisa Katoliki ya Kisumu nchini Kenya.
Chini yake kuna: majimbo ya Bungoma, Eldoret, Homa Bay, Kakamega, Kisii, Kitale na Lodwar.
Askofu mkuu ni Maurice Muhatia Makumba, anayeishi jijini Kisumu.
Uongozi
[hariri | hariri chanzo]- Maaskofu wakuu
- Gorgon Gregory Brandsma MHM, 1925–1935
- Nicolas Stam MHM, 1936–1948
- Frederick Hall MHM, 1948–1963
- Joannes de Reeper MHM, 1964–1976
- Philip Sulumeti, 1976–1978
- Zacchaeus Okoth, 1978–2018
- Philip Arnold Subira Anyolo, 2018-2021
- Maurice Muhatia Makumba, 2022
Takwimu
[hariri | hariri chanzo]Eneo la jimbo lina kilometa mraba 4,616, ambapo kati ya wakazi 3,840,483, Wakatoliki ni 2,159,850 (56.2%) katika parokia 63. Mapadri ni 117, wakiwemo wanajimbo 75 na wanashirika 42. Watawa wa kiume ni 74 na wa kike ni 272.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Kisumu kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |