Mkoa wa Mwanza
Mkoa wa Mwanza |
|
Mahali pa Mkoa wa Mwanza katika Tanzania | |
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | 8 |
Mji mkuu | Mwanza |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | Abas Kandoro |
Eneo | |
- Jumla | 19,592 km² |
Idadi ya wakazi (2002) | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,942,148 |
Tovuti: http://www.mwanza.go.tz/ |
Mkoa wa Mwanza ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa magharibi, Shinyanga upande wa kusini na Mara upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini. Makao makuu ya mkoa yapo Mwanza mjini.
Wilaya
Mkoa wa Mwanza una wakazi 2,942,148 (sensa ya 2002) katika wilaya 8 ukiwa na eneo la 19,592 km2. Wilaya ndizo Ukerewe, Magu, Sengerema, Geita, Misungwi, Kwimba, Nyamaganga na Ilemela. Jiji la Mwanza lina ndani yake wilaya za Nyamagana na Ilemela.
Ramani (kabla ya 2012) | Wilaya au manisipaa | Wakazi (2022) | Tarafa | Kata | Kijiji | Eneo km² |
---|---|---|---|---|---|---|
Wilaya ya Buchosa | 413,110 | |||||
Wilaya ya Ilemela | 509,687 | |||||
Wilaya ya Kwimba | 480,025 | |||||
Wilaya ya Magu | 421,119 | |||||
Wilaya ya Misungwi | 467,867 | |||||
Wilaya ya Nyamagana | 594,834 | |||||
Wilaya ya Sengerema | 425,415 | |||||
Wilaya ya Ukerewe | 387,815 | |||||
Jumla | 3,699,872 | |||||
Marejeo: Mkoa wa Mwanza |
Wakazi
Makabila makubwa katika Mwanza ndio Wasukuma, Wakerewe, Wakara na Wazinza.
Viungo vya nje
- Tovuti rasmi ya Mkoa wa Mwanza
- Mji wa Mwanza, habari za uchumi, utamaduni na mengi mengine
- Matokeo ya Sensa 2002 kwa Mwanza
- Serikali ya Tanzania
- Wasukuma
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |