Mkoa wa Geita
Mkoa wa Geita |
|
Mahali pa Mikoa ya Geita na Mwanza katika Tanzania kabla ya umegaji | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | |
Mji mkuu | Geita |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa |
Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa magharibi, Shinyanga upande wa kusini na Mwanza upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.
Makao makuu ya mkoa yapo Geita mjini.
Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza. Kwa sasa wakazi ni 2,977,608 (sensa ya mwaka 2022[1]) katika wilaya 5.
Mkoa wa Geita ulikadiriwa kuwa na wakazi 1,882,141 mnamo mwaka 2015.[2]
Wilaya za mkoa wa Geita[hariri | hariri chanzo]
Wilaya za mkoa huo mpya ni:
- Bukombe,
- Chato,
- Geita,
- Mbongwe na
- Nyang'hwale.
Wakazi[hariri | hariri chanzo]
Makabila makubwa katika mkoa huu ni Wasukuma, Wasumbwa, Walongo na Wazinza.
Majimbo ya bunge[hariri | hariri chanzo]
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:
- Geita Mjini : mbunge ni Costantine John Kanyansu (CCM)
- Geita Vijijini : mbunge ni Joseph Lwinza Kasheku ‘Msukuma’ (CCM)
- Busanda : mbunge ni Tumaini Magesa (CCM)
- Mbogwe : mbunge ni Augustino Masele (CCM)
- Bukombe : mbunge ni Doitto Mashaka Biteko (CCM)
- Chato : mbunge ni Dk. Medard Matogolo Kalemani (CCM)
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/
- ↑ 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania, Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics, iliangaliwa Septemba 2017
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Matokeo ya Sensa 2002 kwa Mwanza* Serikali ya TanzaniaArchived 15 Desemba 2003 at the Wayback Machine.
- Wasukuma Archived 3 Julai 2008 at the Wayback Machine.
- Geita investment profile Archived 11 Machi 2016 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Geita bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
![]() | |
---|---|
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |