Mkoa wa Songwe
Mandhari
| Mkoa wa Songwe |
|
| Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Wilaya | |
| Mji mkuu | Vwawa |
| Serikali | |
| - Mkuu wa Mkoa | |
| Eneo | |
| - Jumla | 26,595 km² |
| - Kavu | 25,534 km² |
| - Maji | 1,061 km² |
| Idadi ya wakazi (2022) | |
| - Wakazi kwa ujumla | 1,344,687 [1]. |
| Tovuti: http://www.songwe.go.tz/ | |
Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016.[2] Jina limetokana na lile la mto Songwe. Eneo lake ni la km2 27,656 na linapakana na Zambia na Malawi upande wa kusini. Tunduma ndio mlango mkuu wa kuingia Zambia na Isongole ni vilevile kwa Malawi. Mikoa ya jirani ni Rukwa na Katavi upande wa magharibi, Tabora upande wa kaskazini, na Mbeya upande wa mashariki. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 1,035,214 [3]. Makao makuu yako Vwawa.
Msimbo wa posta ni namba 54100.
Wilaya
[hariri | hariri chanzo]Mkoa huu una halmashauri za[4]: 8 :
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.nbs.go.tz
- ↑ "Uchapishaji wa orodha ya Postikodi". Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). 2016. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-07-29.
- ↑ https://www.nbs.go.tz
- ↑ Mwangela, Nicodemas E. (2019). "SONGWE REGION INVESTMENT GUIDE" (PDF). United Nations Development Programme (UNDP) (kwa Kiingereza). Mkoa wa Songwe. ISBN 978-9987-664-01-6. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2022-06-21.
{{cite journal}}: Unknown parameter|dead-url=ignored (|url-status=suggested) (help)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Mbeya Region Socioeconomic Profile katika TZOnline Ilihifadhiwa 7 Machi 2022 kwenye Wayback Machine. (Kiingereza)
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Songwe bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Songwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari . Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno |
