Mkoa wa Songwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mkoa wa Songwe
Mahali paMkoa wa Songwe
Mahali paMkoa wa Songwe
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E / -2.750; 32.750
Nchi Tanzania
Wilaya
Mji mkuu Vwawa
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa
Eneo
 - Jumla 26,595 km²
 - Kavu 25,534 km² 
 - Maji 1,061 km² 
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 1,344,687 [1].
Tovuti:  http://www.songwe.go.tz/

Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100 ukiwa umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016.[2]

Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 1,035,214 [3].

Makao makuu yako Vwawa.

Mkoa huu una halmashauri za[4]:8

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Uchapishaji wa orodha ya Postikodi (sw). Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) (2016). Jalada kutoka ya awali juu ya 2022-07-29.
  3. https://www.nbs.go.tz
  4. Mwangela, Nicodemas E. (2019). "SONGWE REGION INVESTMENT GUIDE". United Nations Development Programme (UNDP) (in English) (Mkoa wa Songwe). ISBN 978-9987-664-01-6. Archived from the original on 2022-06-21. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Songwe bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Songwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .
Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno