Wilaya ya Chato

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wilaya ya Chato ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Geita. Wilaya hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Biharamulo, mkoa wa Kagera, halafu mwaka 2012 ikasogezwa katika mkoa mpya wa Geita.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 365,127 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 584,963 [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Chato - Mkoa wa Geita - Tanzania

Bukome | Buseresere | Butengorumasa | Buziku | Bwanga | Bwera | Bwina | Bwongera | Chato | Ichwankima | Ilemela | Ilyamchele | Iparamasa | Kachwamba | Kasenga | Katende | Kigongo | Makurugusi | Minkoto | Muganza | Muungano | Nyamirembe | Nyarutembo

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Geita bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.