Wilaya ya Sengerema

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Sengerema (kijani cheusi) katika mkoa wa Mwanza kabla haujamegwa.

Wilaya ya Sengerema ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Mwanza yenye postikodi namba 33300.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 663,034 waishio humo. [1] na katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 425,415 [2].

Makao makuu ya wilaya yako kwenye mji wa Sengerema wenye kata nne za Ibisabageni, Mwabaluhi (Mwambului), Nyampulukano na Nyatukala.

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza na tarakimu 333.

Kuna Telecentre Wilayani Sengerema. Ipo kwenye kwenye makutano ya barabara za Kamanga na Busisi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Sengerema - Mkoa wa Mwanza - Tanzania

Bitoto | Busisi | Buyagu | Buzilasoga | Chifunfu | Ibisabageni | Ibondo | Igalula | Igulumuki | Kagunga | Kahumulo | Kasenyi | Kasungamile | Katunguru | Kishinda |Mission |Mwabaluhi | Nyamatongo | Nyamazugo | Nyamizeze | Nyampande | Nyampulukano |Nyatukara | Sima | Tabaruka

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mwanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Sengerema kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.