Qatar : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 13: Mstari 13:
|largest_city = Doha
|largest_city = Doha
|government_type = [[Ufalme]]
|government_type = [[Ufalme]]
|leader_titles =[[Orodha ya watemi wa Qatar|Mtemi]]<br />President<br />[[Orodha ya mawaziri wakuu wa Qatar|Waziri mkuu]]
|leader_titles =[[Orodha ya watemi wa Qatar|Mtemi]]<br /><br />[[Orodha ya mawaziri wakuu wa Qatar|Waziri mkuu]]
|leader_names = [[Hamad bin Khalifa]]<br />Jason Wong<br />[[Abdullah bin Khalifah Al Thani]]
|leader_names = [[Tamim bin Hamad Al Thani]]<br /><br />[[Abdullah bin Nasser bin Khalifa Al Thani]]
|area_rank = ya 164
|area_rank = ya 164
|area_magnitude = 1 E10
|area_magnitude = 1 E10
Mstari 20: Mstari 20:
|areami² = 4,416
|areami² = 4,416
|percent_water = „kidogo sana“
|percent_water = „kidogo sana“
|population_estimate = 839,213 <!--UN Common database mid-2006 projection-->
|population_estimate = 2,155,446 <!--UN Common database 2014 projection-->
|population_estimate_rank = ya 158
|population_estimate_rank = ya 142
|population_estimate_year = Julai 2006
|population_estimate_year = Agosti 2013
|population_census = 744,029 [http://www.planning.gov.qa/Qatar-Census-2004/pubulation-eng/Tabels/Pubulation/T01.htm]
|population_census = 1,699,435 [http://www.planning.gov.qa/Qatar-Census-2010/pubulation-eng/Tabels/Pubulation/T01.htm]
|population_census_rank = ya 159
|population_census_rank = ya 148
|population_census_year = 2004
|population_census_year = 2010
|population_density = 74
|population_density = 74
|population_densitymi² = 192 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|population_densitymi² = 192 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
Mstari 69: Mstari 69:
[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.
[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.


Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi laki nane na nusu, yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali.
Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali, hasa [[India]] (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.


[[Kiarabu]] ni [[lugha rasmi]] ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya [[biashara]] na ofisini.
[[Kiarabu]] ni [[lugha rasmi]] ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya [[biashara]] na [[ofisi]]ni.


Waqatari wenyewe ni [[Uislamu|Waislamu]] lakini wakazi kutoka nje hufuata [[dini]] mbalimbali.
Waqatari wenyewe ni [[Uislamu|Waislamu]] (hasa [[Wasuni]]) lakini watu kutoka nje hufuata pia [[dini]] mbalimbali: hivyo kati ya wakazi wote 13.8% ni [[Wakristo]] na 13.8% tena ni [[Wahindu]].


[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake.
[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake.

Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] kwa kuwapa [[silaha]] Waislamu wenye [[itikadi kali]] kama vile huko [[Palestina]], [[Syria]] na [[Iraq]].


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==

Pitio la 14:08, 18 Agosti 2014

Qatar

Qatar (Kiarabu: قطر ) ni emirati ndogo wa Uarabuni kwenye rasi ya Qatar ambayo ni sehemu ya rasi kubwa ya Uarabuni.

Imepakana na Saudia upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya Ghuba ya Uajemi. Kisiwa cha Bahrain kiko karibu.

Mji mkuu wa Qatar ni Doha.

Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni Waarabu na Waafrika (utumwa nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali, hasa India (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.

Kiarabu ni lugha rasmi ya nchi lakini Kiingereza hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya biashara na ofisini.

Waqatari wenyewe ni Waislamu (hasa Wasuni) lakini watu kutoka nje hufuata pia dini mbalimbali: hivyo kati ya wakazi wote 13.8% ni Wakristo na 13.8% tena ni Wahindu.

Uchumi wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya petroli na gesi yake.

Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na siasa ya Mashariki ya Kati kwa kuwapa silaha Waislamu wenye itikadi kali kama vile huko Palestina, Syria na Iraq.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Qatar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.